BOMBO WAZINDUA JENGO LA KITUO JUMUISHI KWA MANUSURA WA UKATILI WA KIJINSIA. Katibu Tawala Mkoa wa Tanga Bi. Pili Mnyema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga amezindua rasmi Jengo la Kituo...Read more
- Kufanya uchunguzi/ tathmini kwa wagonjwa wenye matatizo ya kijamii au kisaikolojia [ social and psycho-social problem) ili kujua jinsi ya kushughulikia
- Kutoa ushauri kwa wagonjwa na/ au ndugu wa wagonjwa waliobainika kua na matatizo ya kijamii au kis...
Idara ya Magonjwa ya ndani ndio yenye historia ndefu Zaidi tangu kipindi cha Ukoloni ambapo Mwanzilishi wa Hospitali alipata msukumo mkubwa uliotokana na vifo vingi mkoani Tanga vilivyoletwa na moja kati ya magonjwa yananyotibiwa na Idara hii. Kwa wakati...
readmoreHuduma za Radiolojia na Ultrasound
Katika eneo hili Hospitali inatoa huduma za vipimo vya raidolojia na utrasound kama vinavyojiorodhesha katika jedwali hapo chini
readmoreHospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:
- Ophthalmolojia (Macho)
- Upasuaji wa Mifupa
- Upasuaji Jumuishi
- Magonjwa ya kina mama na Afya ya Uzazi
- Magonjwa ya moyo
- Endocrinolojia (Magonjwa ya kisukari)...
-
Apr 01
- Posted on: December 6th, 2024
AONDOLEWA UVIMBE WA KILOGRAMU 5 KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA KANDA YA KASKAZINI.
- Posted on: December 2nd, 2024
MAMIA WAJITOKEZA HOSPITALI YA MAWENZI KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA KANDA YA KASKAZINI
- Posted on: November 26th, 2024
SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA DUNIANI
- Posted on: November 25th, 2024
WATARAJALI BOMBO WAKUMBUSHWA MAADILI WAKATI WA KUTOA HUDUMA.
Jumatatu-Jumapili
- From 06:00 to 07:00
- From 12:30 to 13:00
- From 16:00 to 18:00
- KLINIKI YA MACHO From 07:30 AM to 03:30 PM
- KLINIKI YA NGOZI From 07:30 AM to 03:30 PM
- KLINIKI YA MAGONJWA YA WANAWAKE NA UZAZI From 11:00 AM to 06:30 AM
- KLINIKI YA MAGONJWA YA NDANI From 11:30 AM to 06:30 AM
- KLINIKI YA MIFUPA From 11:30 AM to 06:30 AM