BOMBO WAZINDUA JENGO LA KITUO JUMUISHI KWA MANUSURA WA UKATILI WA KIJINSIA. Katibu Tawala Mkoa wa Tanga Bi. Pili Mnyema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga amezindua rasmi Jengo la Kituo...Read more

Karibu sana Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, Hospitali hii ipo mwambao wa Bahari ya Hindi, Ina mandhari mazuri na ya kihistoria. Mategemeo yetu ni kukupatia huduma unayostahili bila kujali tabaka lolote la Dini, Kabila, Kipato, Rangi, Jinsia, Umri wa Taifa unalotoka. Mteja wetu tuta...
Read moreIdara ya Magonjwa ya ndani ndio yenye historia ndefu Zaidi tangu kipindi cha Ukoloni ambapo Mwanzilishi wa Hospitali alipata msukumo mkubwa uliotokana na vifo vingi mkoani Tanga vilivyoletwa na moja kati ya magonjwa yananyotibiwa na Idara hii. Kwa wakati...
readmoreHuduma za Radiolojia na Ultrasound
Katika eneo hili Hospitali inatoa huduma za vipimo vya raidolojia na utrasound kama vinavyojiorodhesha katika jedwali hapo chini
readmoreHospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:
BOMBO WAZINDUA JENGO LA KITUO JUMUISHI KWA MANUSURA WA UKATILI WA KIJINSIA. Katibu Tawala Mkoa wa Tanga Bi. Pili Mnyema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga amezindua rasmi Jengo la Kituo...Read more
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NI NINI?
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko katika shingo ya kizazi. Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa ka...
read moreANDAA,ZUNGUMZA NA MWENZI WAKO,JAZA MPANGO
SARATANI YA KINYWA
Saratani ya kinywa ni ile saratani ambayo inatokea katika maeneo mbalimbali ya kinywa. Hivyo saratani hii huweza kutokea kwenye maeneo kama vile:
Meno Kulegea Na Hata Kung’oka Yenyewe
(Periodontitis)
Ni watu wengi hasa wa kuanzia umri wa kati na kuendelea hupatwa na hali hii ya kuwa na meno yanayolegea na wanapoyachunguza hukuta meno husika hayana matundu na hali hii ya meno kulegea haiambata...
read more