Wasiliana nasi | FAQ | Mails | Malalamiko |

Tanga Regional Referral Hospital
(Bombo Hospital)

HUDUMA ZA KIBINGWA

Posted on: March 29th, 2024

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:

  • Ophthalmolojia (Macho)
  • Upasuaji wa Mifupa
  • Upasuaji Jumuishi
  • Magonjwa ya kina mama na Afya ya Uzazi
  • Magonjwa ya moyo
  • Endocrinolojia (Magonjwa ya kisukari)
  • Magonjwa ya kuambukiza mf.  CTC kwa wagonjwa wa VVU, TB
  • Dermatolojia (Ngozi)
  • Magonjwa ya Ndani
  • Wagojwa wa Dharura na Ajali
  • Wagonjwa Mahututi na Tiba ya maumivu
  • Magonjwa ya watoto