Wasiliana nasi | FAQ | Mails | Malalamiko |

Tanga Regional Referral Hospital
(Bombo Hospital)

Hospitali Yapokea Msaada wa Vifaa vya Watoto Njiti

Posted on: October 10th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martin Shigela akipokea vifaa vya Hospitali maalumu kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati. Vifaa hivyo vilikabidhiwa na Meneja wa Bandari Mkoa wa Tanga. Vifaa hivyo vitatumika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga na itasaidia kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda.